Exodus 9:4-6
4 aLakini Bwana ataweka tofauti kati ya mifugo ya Israeli na ile ya Misri, kwamba hakuna mnyama wa Mwisraeli atakayekufa.’ ” 5Bwana akaweka wakati na kusema, “Kesho Bwana atalitenda hili katika nchi.” 6 bSiku iliyofuata Bwana akalitenda: Mifugo yote ya Wamisri ikafa, lakini hakuna hata mnyama mmoja wa wana wa Israeli aliyekufa.
Copyright information for
SwhKC